03 - 02 - 2018 مـ
11:08 صباحاً
https://www.mahdialumma.com/showthread.php?t=33867
___________
Ukumbusho na mawaidha kutoka kwa Al’Mahdi Al’Muntadhar kwa viongozi wa Waislamu arabu
wao na maajami wao na baki ya wote wa viongozi wa wanadamu
Bismillah Al’Rahman Al’Rahim, Na Swala Na Sala Ju Muhammad Alio khitimisha Mitume Wa Allah kwa waja na waislamu wote na enye wapendwa wangu makurdi sio nyinyi pekeyenu mumedhulumiwa; Bali imejawa ma ardhi ya waislamu unyanyasaji na udhalimu kutokana na viuongzi ma’dhalimu kwa nafsi zao na ma taifa yao, Ispokua tunawapa nguvu kwa wale tunao taka miongoni mwao kwa kauli laini na tunamsifu kwamba ni mzuri huwenda ukawa mzuri moyo wake, Na tunawapa mkono kila mwenye uchungu ju ya uwislamu na waislamu na zile sehmu takatifu za Mola Mlezi Wa ulimwengu kama mfano wa Rajab tayib Ardoghan ambae ali’itisha kufanyike mkutano wa hali ya juu kwa haraka ndani ya uturuki kwajili yakuchukua hatua kwajili ya Masjid Al’Aqsa, Basi vipi tusimpe mkono kwajili ya kulinda Msikiti Wa Alaqsa na maeno pembezoni mwake na kupatia nguvu viongozi wa Waislamu warabu wao na maajemi wao? Na Pamoja ya vitendo vake Rajab Tayib ambazo hazimridhishi Allah lakini yeye anakanusha uwingi wa ma hizbu na taifia, Basi huwenda Allah Akatahirisha moyo wake kwa Nur Ya Bayana Ya Haki Ya Al’Quran ndio tunamwambia kauli laini huwenda akakumbuka ama akamogopa Mola Mlezi Wake ndio amsadikishe Allah basi Atamsadiki.
Na jina lake ni Rajab Tayib, Ama huo uzuri kwa haki basi sijapata mpaka sasa Mwanamume Mzuri moyo wake inje ndani katika viongozi wa Waislamu; Ambae imekua mzuri moyo wake na akafwata mlinganizi wa haki kwa kuhukumu kwa kitabu cha Mola Mlezi wake na kukifwata, Na kila moja anaimba kwajili ya leila, Na wote wanachunga viti vao va enzi, Na wanamini na mbinu za Allah Mfalme Wa Mulki anampa Ufalme amtakae na anampokunya ufalme amtakae na wataenda kujua ikiwa hawatotubu kwa Mola wao Mlezi, Basi wakitubu kwa Mola Mlezi wao basi imekua haki juu ya Allah awazidishe iza juu ya iza yao na nguvu juu ya nguvu yao kama mfano ya mawaidha ya Nabi wa Allah Hud kwa kaumu yake ambao ni wenye nguvu zaidi kwenye ardhi katika zama zao. Kusadikisha Kauli ya Allah Ta3la:
{وَيَا قَوْمِ اسْتَغْفِرُوا رَبَّكُمْ ثُمَّ تُوبُوا إِلَيْهِ يُرْسِلِ السَّمَاءَ عَلَيْكُم مِّدْرَارًا وَيَزِدْكُمْ قُوَّةً إِلَىٰ قُوَّتِكُمْ وَلَا تَتَوَلَّوْا مُجْرِمِينَ ﴿٥٢﴾} صدق الله العظيم [هود].
Allah Ta3ala Asema:{ Na enyi watu wangu! Muombeni msamaha Mola wenu Mlezi, kisha mtubie kwake. Atakuleteeni mbingu zenye kunyesha mvua ya kumiminika, na atakuzidishieni nguvu juu ya nguvu zenu. Wala msigeuke mkawa wakosefu(52)} Sadaqa Allah Al3adhim [Hud].
Wakakufuru Kwa Wadi wa Allah kwenye Muhakama ilio wazi mana yake Kitabu:
Na salam Juu ya Mitume, Na Alhamdulillah Rabil3alamin..
Khalifa Wa Allah Na Mja Wake Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani.